Huyo mamgi meli ni babu yake Sururu Mboro? mbona kakomalia hivo au janja ya kuishi ujerumani tu, miaka 40?Kuna ndugu yenu ujeruman huko mtafuten mmuludishe kundinView attachment 935057
Weee Mgirik: hawawezi mpa kichwa cha mzungu hata hawe kichaa. Watampa bichwa lolote la mtu mweusi tiii hata wa HaitiSasa akilipata litamsaidia nini?
Ngoja wampe la Kichaa yoyote Wa kizungu hulo
uboloSubilini kwanza, huyo jamaa jina lake la mwisho nani??? au nimesoma vibaya?!!!
wampe mara 2,keshakuwa huyoSasa akilipata litamsaidia nini?
Ngoja wampe la Kichaa yoyote Wa kizungu hulo
Miaka 40 bado sana.Miaka 40 ! No hope
Subilini kwanza, huyo jamaa jina lake la mwisho nani??? au nimesoma vibaya?!!!