Jobless Graduate2021
Member
- Aug 15, 2021
- 49
- 45
labda ndo wanavyofundishwa huko wanakoendagaWanaenda kupata elimu ya ushetani. Kuua watu wasio na hatia kama yule fala wa Salender Bridge
labda ndo wanavyofundishwa huko wanakoendagaWanaenda kupata elimu ya ushetani. Kuua watu wasio na hatia kama yule fala wa Salender Bridge
Hiyo misimamo mikali siyo ya dini tu, bali hata ya kisiasa kama tunavyoona wafuasi wa CHADEMA wanavyotukana ovyo. Huo ni msimamo wa CHADEMA kuhakikisha wanaleta machafuko kwa njia za kigaidi ikiwa ni pamo0ja na kuvunja sheria. Yaani mfuasi wa CHADEMA hana tofauti na mfuasi wa ISIS, Alqaeda, AU taliban. Wao ni kukubali uchafu wowote asemao Mbowe.Sio mkumbo, ishu ni kuwa kuna watu wengi wanaamini masuala ya msimamo mkali baada ya kufundishwa sana na baada ya kuamini hayo masuala wanaenda "kujifunza dini" wakienda huko wanapotea mazima.
Kuna watz wengi wameenda "kusomea dini" ukisikia hilo jambo ujue tayari..............
Sio kusoma tu misri. Pia ni member wa isis na tayari wamempongeza.Hata huyu gaidi aliyeuawawa jana alienda kusomea dini misiri
Sio kusoma tu misri. Pia ni member wa isis na tayari wamempongeza.
apa umeenda mbali sana mzee,Hiyo misimamo mikali siyo ya dini tu, bali hata ya kisiasa kama tunavyoona wafuasi wa CHADEMA wanavyotukana ovyo. Huo ni msimamo wa CHADEMA kuhakikisha wanaleta machafuko kwa njia za kigaidi ikiwa ni pamo0ja na kuvunja sheria. Yaani mfuasi wa CHADEMA hana tofauti na mfuasi wa ISIS, Alqaeda, AU taliban. Wao ni kukubali uchafu wowote asemao Mbowe.
hawa jamaa sijui wana shida ganSio kusoma tu misri. Pia ni member wa isis na tayari wamempongeza.
Hamjamkuta na ilani ya Chadema?
😄😄😄 si walimpa Mbowe kesi ya ugaidi wkt yule jamaa aliyefanya tukio Jana hapo Dar alikua Ni mwana CCM mkuu.Hehehe!!! Chadema na ugaidi wapi na wapi....
We km si mlitaka ugaidi ngoja ujeHiyo misimamo mikali siyo ya dini tu, bali hata ya kisiasa kama tunavyoona wafuasi wa CHADEMA wanavyotukana ovyo. Huo ni msimamo wa CHADEMA kuhakikisha wanaleta machafuko kwa njia za kigaidi ikiwa ni pamo0ja na kuvunja sheria. Yaani mfuasi wa CHADEMA hana tofauti na mfuasi wa ISIS, Alqaeda, AU taliban. Wao ni kukubali uchafu wowote asemao Mbowe.
Siwezi kushangaa CCM ndio mambo yao hayo.
MSIONGEE MSIVYOVIJUA.labda ndo wanavyofundishwa huko wanakoendaga