msomi kutoka znz
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 599
- 2,677
ama kweli najua wazungu wamchukua hatua hizi za kutangaza dau kubwa la pesa kwa ataeweza tambua muuaji wa mtanzania huyu sababu ya ushoga na si vingenevyo. kamwe wazungu hawafurahii kutuonesha madhara ya ushoga sababu wana ajenda zao.
nimepitia kwenye akaunti za marehemu na inasikitisha kuona taswira yake ya kabla na baada ya kuwa na mahusiano ya jinsia moja.
jamaa alikua ana binti mkubwa tu na alikua anampenda sana mwanae.
aidha katika nyakati flani anajarbu kuelezea namna gani maisha yake bado hayajasettle akiwa huko aliko sababu document zake bado hajizakaa sawa; swali fikirishi ni kwamba pengine hakua na namna zaidi ya kuwa unyumba ma mzungu huyo glen ili apate document za kuishi?
RIP
nimepitia kwenye akaunti za marehemu na inasikitisha kuona taswira yake ya kabla na baada ya kuwa na mahusiano ya jinsia moja.
jamaa alikua ana binti mkubwa tu na alikua anampenda sana mwanae.
aidha katika nyakati flani anajarbu kuelezea namna gani maisha yake bado hayajasettle akiwa huko aliko sababu document zake bado hajizakaa sawa; swali fikirishi ni kwamba pengine hakua na namna zaidi ya kuwa unyumba ma mzungu huyo glen ili apate document za kuishi?
RIP