indeedGood riddance
It's so simple: Hao wote waliokuwa wakimla huyo mzungu, pamoja na marehemu, ni gays pia. Hakuna kisingizio chochote kinachoweza kuhalalisha uharamu wa namna hiyo. Marehemu hakuwekewa pistol kichwani akalazimishwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.R.I.P. Hakupenda kuwa shoga,sema kwenda US ndo kulimfanya awe hivyo. Huyo mzungu alikuwa boss wao huko Njiro. Inaonekana walimla sana. Naona Mzungu akajichagulia Johnson ili amuoe. Ugumu wa maisha ya Bongo ikabidi akubali tu.
Huyu marehemu ana watoto kabla ya kuoa huyo mzungu.
Duh, una maanisha makaratasi ndio yamemfanya afunge ndoa? Mbona Marekani kuna Wanawake wabaya kama gari moshi ambao angeweza kuoa na kupata makaratasi huku akilinda uanaume wake. Mie nadhani huyu alikuwa hasara tu sema alivumilia mpaka akapata nafasi.R.I.P. Hakupenda kuwa shoga,sema kwenda US ndo kulimfanya awe hivyo. Huyo mzungu alikuwa boss wao huko Njiro. Inaonekana walimla sana. Naona Mzungu akajichagulia Johnson ili amuoe. Ugumu wa maisha ya Bongo ikabidi akubali tu.
Huyu marehemu ana watoto kabla ya kuoa huyo mzungu.
It's so simple: Hao wote waliokuwa wakimla huyo mzungu, pamoja na marehemu, ni gays pia. Hakuna kisingizio chochote kinachoweza kuhalalisha uharamu wa namna hiyo. Marehemu hakuwekewa pistol kichwani akalazimishwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Pole sana kamanda
7-11 au Family Mart unataka ukute wafanyakazi wawili ndugu? Hivi ni Grocery store au duka za Mangi zilivoadavance viko kwa mamia huwezi weka wafanyakazi wengiAmeuliwa.
"Apigwa risasi" inatumika kwa ambae hakufa.
Afisa upelelezi kasema, baada ya kutii amri za awali za kumpa hela, marehemu alijaribu kumpora bastola jambazi. Ikapelekea kuuawa kwake. Labda hapo kuna somo la kujifunza.
7-11 nao nadhani wana kesi ya uzembe ya kujibu. Mtumishi alikuwa peke yake dukani. Hakupaswa.
Kwenye ndoa za jinsia moja yaani mwanaume kwa mwanaume wote huwa wanaitana 'husband' sababu huwa wanakulana kwa zamu. Ndio maana wote ni gay.