much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,493
- 10,236
Huyo alikuwa choko na sio mpambanaji acha kulitumia neno mpanaji vibaya.
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Huyo alikuwa choko na sio mpambanaji acha kulitumia neno mpanaji vibaya.
...MwakaPolisi mjini Dallas wameomba msaada wa kumpata mtuhumiwa wa mauaji ya mhamiaji kutoka Tanzania, Johnson Mdoe Mchaina ambaye alikuwa anafanya kazi usiku kusaidia familia yake iliyopo Tanzania anapotoka.
Hivi ya CCTV inamuonyesha mtuhumiwa akimpiga risasi Johnson na kuchukua maisha yake. Tukio hilo lilitokea saa 8:45 usiku tarehe 9 July 2020 ambapo muuaji alimkuta Mdoe yuko peke yake.
Wafanyakazi wenzie wamemuongelea Mdoe kama mtu mzuri sana na alikuwa na mtoto wa kike nchini Tanzania na alijitahidi sana kumhudumia.
Mtuhumiwa ambae alikfika kufanya tukio la uhalifu alimuamuru Mdoe kwenda kwenye Rejesta, akiwa nyuma ya kaunta huku mhalifu huyo akiwa na wasiwasi na kutoishikilia vizuri silaha yake.
Mdoe alimfungulia trei na mhalifu kuchukua pesa lakini alishindwa kumfungulia ya pili, alitumia sekunde kadhaa na alionekana kuwa na hofu wakati silaha ikiwa inamzunguka na ghafla akapigwa risasi.
Mdoe alijaribu kumshika mtuhumiwa, aligeuka na kumpiga risasi, alisema Lopez ambae ni afisa wa polisi. Imetangazwa malipo ya dola 15,000 kwa taarifa itayopelekea upatikanaji wake na afisa wa polisi ana imani kuna mtu anajua jina lake au jina la utani.
View attachment 1547468
hiyo his husband mbona kama sijaielewa?🤔🤔
Ina maana hii habari nzima ilikuwa ya Julia 2020 Miaka mitatu iliyopita?? 2022 imefufuliwa Kwa ajili Gani?? Kuna jipya??Pole sana kamanda