mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
1) Hutembelea na kukutana na jamii katika maeneo yao.
2) Husikiliza shida na kero za jamii kwa usikivu na umakini.
3) Hutoa majibu yaliyo sahihi ya kutatua shida/kero hizo.
4) Huagiza vyombo husika kutekeleza hayo majibu waliyotoa.
5) Hufuatilia kwa karibu utekelezaji huo.
6) Huchukua hatua mara moja penye utekelezaji usiorodhisha.
Nao ni:
Rais John Pombe Magufuli;
Makamu wa Rais, Mama Samia; na
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Mifano ni hii hapa:
2) Husikiliza shida na kero za jamii kwa usikivu na umakini.
3) Hutoa majibu yaliyo sahihi ya kutatua shida/kero hizo.
4) Huagiza vyombo husika kutekeleza hayo majibu waliyotoa.
5) Hufuatilia kwa karibu utekelezaji huo.
6) Huchukua hatua mara moja penye utekelezaji usiorodhisha.
Nao ni:
Rais John Pombe Magufuli;
Makamu wa Rais, Mama Samia; na
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Mifano ni hii hapa: