Chereko Chereko
Member
- Dec 4, 2011
- 54
- 6
Kijana Denis Maringo ambaye anadai yeye ni mkimbizi wa kisiasa toka Tanzania aliyeko marekani, amefungua kesi kudai fidia Google akisema kwamba wametumia jina la kabila lake la waGogo isivyo halali.
Pia anawadai Yahoo kwa kutumia jina la kabila la waYao isivyo halali. Denis anadai yeye ni Mgogo kwa baba na Myao kwa mama. Fidia anayodai ni $10,000 kwa Google na $10,000 kwa Yahoo.
Source: Google - 'What's in Google's name?'
Pia anawadai Yahoo kwa kutumia jina la kabila la waYao isivyo halali. Denis anadai yeye ni Mgogo kwa baba na Myao kwa mama. Fidia anayodai ni $10,000 kwa Google na $10,000 kwa Yahoo.
Source: Google - 'What's in Google's name?'