Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,281
- 81,567
Dah! Ahueni leo umepunguza ukali wa maneno maana Marekani imekuathiri kweli kweli bwashee!Utasikia hii ni kwasababu ya juhudi za serikali takatifu ya mtukufu rais John Pombe Magufuli.
People are crazy beyond imagination aisee