Mtanzania Andron Mendes ameuza mfumo wa mita ya kulipia ya kulipia gesi ya kupikia kadri unavyotumia (PAYG) kwa Kampuni ya Circle gas ya Uingereza kwa Sh.57.6 bilioni ili isambazwe kwa nchi za Afrika.
"Hakuna sababu ya kushikilia Teknolojia ambayo inapunguza matumizi ya Mkaa kwa sababu tu umeigundua. Nimeamua kuiuza Teknolojia hiyo kwa watu wenye fedha ili waisambaze Afrika" alisema Mendes wakati wa hafla ya mauziano ya Teknolojia hiyo iliyofanyika jijini Nairibi nchini Kenya.
=====
"Hakuna sababu ya kushikilia Teknolojia ambayo inapunguza matumizi ya Mkaa kwa sababu tu umeigundua. Nimeamua kuiuza Teknolojia hiyo kwa watu wenye fedha ili waisambaze Afrika" alisema Mendes wakati wa hafla ya mauziano ya Teknolojia hiyo iliyofanyika jijini Nairibi nchini Kenya.
=====
Mtanzania kwa majina Andron Mendes hatimaye ameuza mfumo wa mita ya kulipia gesi ya kupikia kadri unavyotumia kwa kampuni ya UK , Circle gas kwa shilingi bilioni 57.6 ili usambazwe kwa nchi nyingine za afrika.
Sababu ya yeye kuuza mfumo huo ni kupata changamoto ya mtaji mkubwa wa kuendesha mradi huo kuwafikia watu wengi. Alisema kulikua hakuna sababu ya kuishikilia teknolijia ambayo inapunguza matumizi ya mkaa sababu tu umeigundua ndio mana ameiuza kwa wenye fedha zao.
Mtanzania na kijana mwenzetu ameasa vijana kutokata tamaa na zaidi kujiamini ya kua wanaweza kuleta mabadiliko ya kimaisha kwa wao binafsi na kwa jamii pia.
Kijana huyo atakua mmiliki wa hisa kwa asilimia 15, na ataongeza wafanyakazi wapya na kuhamia kwenye kampuni mpya.
Safari yake aliianza mwaka 2012, na kuendelea kuikuza hio teknolojia hio kwa miaka saba. Teknolojia hio iitwayo KOPA GAS itashirikiana na kampuni hio ya uingereza pamoja na kampuni ya safari com ya Kenya ili kuungamisha nguvu na kubadilishana uzoefu kwa ajili ya kuleta upatikanaji wa gesi ya bei nafuu kwa mamilioni ya watu katika bara la afrika.
Mradi huo tangu 2016 ulivyoanza hadi sasa umeshaunganisha wakazi wa Dar es Salaam zaidi ya 1430, na watafikia watu laki mbili mwaka 2021 lakini kutokana na ufinyu wa mtaji, aliamua kuiza teknolojia hio.
Hongera kwa kijana mtanzania.
"Get rich or die trying"
Sent using Jamii Forums mobile app