Mtanzania apata mabilioni, Auza mfumo wa kununua Gesi kadri unavyotumia

Serikali hainunui mifumo yaani software sababu haiko kwenye hiyo biashara ilikuwa haki yake kuuza popote Duniani anapoona pana faida na inakubalika

Matajiri wa Tanzania Hakuna venture capitalist wanunua mawazo na wapenda kuingia ubia na wagunduzi

Nchi za wenzetu Wako kibao waweza wauzia wazo au ugunduzi wako au mkaingia ubia
Matajiri wako bize kutuuzia Ukwaju, sayona etc

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umewahi kuipost Mana wakenya hawakawii kisema huyo no mkikuyu wa Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
.
Screenshot_20200117-113810_Instagram.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
siyo mambomba ya gesi ndugu. Huyu alichogundua ni Mita, anakuletea Mtungi wa kilo 6, 15 au 30 nyumbani kwako ila huwezi kuutumia mpaka ulipie, unaweza kununua gesi ya 2000 katika mtungi huo ikiisha inakata hadi ununue tena, ni kama Luku.
Kama hvo inakua haina maana,au laa umeshindwa elezea
 
Hongera sana kwake. Ila hizo pesa aziweke huko huko UK asizilete bongo kuna kesi anaweza kupata, halafu kuna TRA wanamsubiria kwa hamu, BOT lazima wapunguze kidogo bila ya kusahau majambazi wa kimyakimya ambao ni wafanyakazi wa benki.

Hongera sana kwake. Kijana ukipata idea kubwakubwa peleka kwa wazungu kupitia balozi zao.
 
Kama hvo inakua haina maana,au laa umeshindwa elezea
kivipi wao wanakuruhusu kununua gesi hata ya shilingi elfu moja sio lazima mtumgi mzima.waweza kuwa huna pesa ya kununua mtungi wote una elfu mbili unalipa ukiwasha jiko linawaka unajipikia mlo wako bila shida.
 
Mtanzania, anauzia UK mfumo wa kuja kutusambazia waafrika gesi, tena wanakabidhiana pesa Nairobi, mimi naona ni kama aibu kwa nchi yetu.
Nje bei za hisa ni nzuri angeuza tanzania pengine asingepata hata milioni 20

Kupata Watanzania wengi matajiri sio rahisi tusiporuhusu watu kununua hisa na kuuza kwenye masoko makubwa ya hisa Duniani yaliyoko Ulaya, Marekani na Japan. Huko ndiko matajiri wa dunia huzalishwa kwenye hayo masoko

Pia Kuwezesha nchi kuwa na pesa nyingi za kigeni badala tu ya kutegemea mauzo ya mazao ya korosho sijui dengu na mazao mengine ya mashambani yanayotegemea Hali ya hewa

Kwenye hayo masoko ndiko kwenye mikampuni mikubwa Duniani inayoongoza kupata faida ambayo huuza hisa na kununua

Bila Tanzania kuwa active kwa Watanzania kushiriki biashara ya hisa ya kimataifa umaskini utaendelea

Soko la ndani la hisa Ni dogo na maskini ndio maana unakuta hata kampuni Kama Vodacom hisa zimedoda sokoni.

Soko maskini halizalishi matajiri.Ndio maana impact ya soko la hisa la Tanzania haionekani kwa Mwananchi wa kawaida kubadili maisha yake akinunua hisa!!!

Kuna masoko zamani madogo lofa yalikuwa yakiitwa soko mjinga.Ukipata meza Hapo ya kuuza ujue utaondoka kapa Kama Ni nyanya zitakuozea kwenye meza
 
Back
Top Bottom