funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,558
- 21,035
Nimefanya ufugaji kuku toka mwaka 2008 mpk leo, sio rahisi na inahitaji mtaji mkubwa ili utoboe. Unatakiwa uwe na ardhi, mabanda, running capital, wateja wa uhakika na utaalam kwenye ufugaji otherwise utaliaAingie kwenye ufugaji wa kuku na ng'ombe wa maziwa