Lamisa Danish
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 285
- 626
Au ni yule mkaka wa Tarime anaejifanya hajui vizuri kiswahili amekisahau baada ya kukaa USA miaka kumi?
Kama ni huyo mkuu ana shughuli pevu ya kufanya mana ana utozi mwingi na ulimbukeni na maisha ya kibongo haya sidhani kama biashara ataiweza..
Kama ni huyo mkuu ana shughuli pevu ya kufanya mana ana utozi mwingi na ulimbukeni na maisha ya kibongo haya sidhani kama biashara ataiweza..