BJEVI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 1,359
- 251
Kwa wanajamii wenzangu.
Naamini wote mnajua vema siasa za nchi yetu.
CCM ina zaidi ya miaka 40 madarakani. Je! kuna faraja/tumaini lolote wamelipata WATANZANIA ,KIUCHUMI au KIJAMII.
CHADEMA ina muda mfupi TANZANIA.Imeonesha njia kwa kiasi fulani hasa kwenye suala la kupambana na ufisadi mfano EPA n.k hii ni hatua ingawa sijui kama ina matumaini au la.
CUF ina muda mfupi TANZANIA-Haijaonyesha kuwa serious sana kwenye masuala yanayogusa jamii hasa TANZANIA BARA....sina uhakika kama wako kwenye mchakato wa kuwapa tumaini lolote watanzania,mtanisaidia......
NCCR MAGEUZI..Inaoekana kuwepo kimaslahi zaidi,sijui watanzania wategemee nini kutoka kwao.mtanisaidia pia.
Jamani kama unahitajika kutoa ushauri wa kitabibu kwa mtanzania wa leo hii hasa kwenye masuala ya mabadiliko ya kiuchumi n.k.Ni nani atampa TUMAINI.CCM,CHADEMA,CUF,NCCR .Kuna vingine ila tuanze na hawa 4........
NAWASILISHA.
Naamini wote mnajua vema siasa za nchi yetu.
CCM ina zaidi ya miaka 40 madarakani. Je! kuna faraja/tumaini lolote wamelipata WATANZANIA ,KIUCHUMI au KIJAMII.
CHADEMA ina muda mfupi TANZANIA.Imeonesha njia kwa kiasi fulani hasa kwenye suala la kupambana na ufisadi mfano EPA n.k hii ni hatua ingawa sijui kama ina matumaini au la.
CUF ina muda mfupi TANZANIA-Haijaonyesha kuwa serious sana kwenye masuala yanayogusa jamii hasa TANZANIA BARA....sina uhakika kama wako kwenye mchakato wa kuwapa tumaini lolote watanzania,mtanisaidia......
NCCR MAGEUZI..Inaoekana kuwepo kimaslahi zaidi,sijui watanzania wategemee nini kutoka kwao.mtanisaidia pia.
Jamani kama unahitajika kutoa ushauri wa kitabibu kwa mtanzania wa leo hii hasa kwenye masuala ya mabadiliko ya kiuchumi n.k.Ni nani atampa TUMAINI.CCM,CHADEMA,CUF,NCCR .Kuna vingine ila tuanze na hawa 4........
NAWASILISHA.