kidudula
Senior Member
- Jul 29, 2017
- 130
- 106
Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 usiku wa kuamkia tarehe 9/9/2018 amefanikiwa kumpiga Bondia Mwingereza Sam Eggington katika round ya pili ya pambano hilo liliofanyika katika ukumbi wa 'ARENA BIRMINGHAM'
ANGALIA BAADHI YA VIPANDE VYA PAMBANO HILO HAPA
ANGALIA BAADHI YA VIPANDE VYA PAMBANO HILO HAPA