At last nashuhudia tukishinda medali medani ya kimataifa zaidi.Jamaa ametimua mbio yaani nimefurahi sana kuona mtanzania kajaribu namna hii....Simbu amemweza Kipketer wa Kenya ambaye amemaliza ktk nafasi ya nne...Tanzania is now in the medal table...infact most EA nations except Somalia, Burundi and Rwanda are on the medal table...congrats to the man Simbu!!! a true hero
Hahahahaha tupo wengi kumbe kama mawaziri wa Mkulu.hivi tofauti kat ya marathon na Olympic ni ipi? maana naona vtu vngi vnafanana
hivi tofauti kat ya marathon na Olympic ni ipi? maana naona vtu vngi vnafanana
upo sawa mkuu. Huyu jamaa ndio ameiwakilisha nchi vyema anatakiwa apewe ufadhili WA nguvu awe na maisha ya ki professional. Utakuta mtu anakatika viuno au anaigiza upuuzi Ana utajiri mwingi wakati international athlete ambae Ni maarufu duniani Ana maisha ya kawaidaDuuhhh..., aisee hongera sana, huyu akirudi JPM amnunulie gari nzuri, apewe nyumba nzuri hata mbezi au kimara na aolewe mke mzuri kabisa kama hana, hii itasaidia kutengeneza morale boost kwa upcoming talents, hivi ndivyo Kenya wanavyo wa-motivate athletes wao. DO THIS PLEASE. Hizo pesa zitarudi kupitia utalii maana ameitangaza Tanzania dunia nzima
Kwa ubaguzi tu mmebarikiwa..umesahau pia kuwa hata kwa maendeleo ni Arusha Na Moshi ziko juu...Na pia elimu....shule bora ziko Arusha Na Kili....pia watu vichwa Na wenye mafanikio Na wasomi wengi wanatoka Arusha Na Kilimanjaro... Ndio maana hata JPM anaumia....kwa mafanikio ya mikoa hii....wanasahau kuwa watu wa huku ni wenye juhudi sana Na wenye kupenda maendeleo...
Hongera kwake Simbu na Tz kwa jumla. Wakenya tumezoea kushindana na hawa wazungu. Itakuwa freshi wanaE.A tukitoana kijasho sisi kwa sisi! Lakini wakenya hamtatuweza bana, tz bado sana kwenye riadha! Itabidi mapenzi yenu na chipsi mayai myatupilie kando kwanza! Hehe!
Hapa tunampa mtanzania Alfonce Simbu Hongera zake! Umbea wa kizaramo peleka kwa wanawake wenzako!Wakalenjin ndio wanaojua kukimbia, nyie watu wengine wasindikizaji tu.
Anaitwa Magdalena, sijui alimaliza wa ngapi, mwanzoni alikuwa kundi moja na wakenya.
Anaitwa Magdalena Shauri, sijui alimaliza wa ngapi, mwanzoni alikuwa kundi moja na wakenya.
Mafanikio ya Simbu ninavyoona hayajaja tu from nowhere. Multichoice walim spot mwaka jana na kuanza kumdhamini chini ya uongozi huu mpya wa MD mTanzania wa multichoice.Safi Simbu.Serikali imulike huu mchezo,hasa upande wa viongozi wake ndio wanauangusha sana mchezo huo bongo.
Hawa akina Simbu wamehangaika wenyewe kwa kiasi kikubwa hadi kufikia hapo.
Kwa ubaguzi tu mmebarikiwa