Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda waliona ni gharama kubwa kusafirisha mwili.Sijaelewa why azikwe dubai?
Ni mdogo tu maskini kazaliwa 1993
Fake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.Mtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072
Sawa mkuu, tunabishana kama vile maiti inaliwa! Nenda kaulizie habari zake kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Dubai utapewa ukweli. Jinga wewe!Fake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini aongope? Ukifia angani, ndege inaangalia uwanja jirani, maiti inashushwa, Safari inaendeleaFake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtangaza vifo naona sasa umehamia Dubai!Mtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072
Sawa mwangaSinema linaanza
Pamoko sana jeipiemuSawa mwanga
Acha upumbavu hakuna aliye kufa me mwenyewe nilikuwa kwenye hiyo ndegeMtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072