wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Amen.Hawa alshabaab na bokoharam wanaharibu imani za watu kwa kisingizio cha dini.
Na kibaya zaidi wamekua chombo cha kufanya fujo kwa kila mwenye nia mbaya kwa nchi nyingine kwa kuaminishwa wanapigania imani huku wanaowatumia wakifaidika kiuchumi.
Mwenyezi Mungu awape viongozi wa dini imani ya kweli na macho ya kuona hili na kukemea na kuongoza vijana wao kuepuka huu mtego
Mungu ibariki Tanzania
Jana tuu nimesikia dw wanasema maeneneo yanayochimba gass mpaka mwa msumbiji wameshambulia sasa sijajua kama ni upande wa tz au laa bado nafuatilia