Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Asante kwa taarifa poleni wafiwa!Nimejulishwa ni yule Swalehe Msuya aliyekuwa gazetini, "Daily News," na pia kwamba Professor Mbele ndiyo huyo aliyemzungumzia na walifahamiana sana.
Alikuwa na umri wa zaidi (kidogo) ya miaka sitini. Namkumbuka miaka ile alipokuwa "Daily News."
Mtapewa taarifa zaidi.