Kuna tweet ya Trump amesema Hayo ni km maandamano kipindi cha Lincoln,ni enzi za utumwa,na jamaa wameanza kuloot wanaiba,sasa kesi yote itageuzwa.... haki gani anaidai huko Marekani huyo mhuni? Haki yake iko Afrika arudi kuidai sio kupayuka kwenye nchi za watu walizozijenga kwa akili, jasho, na damu.
Aje aandamane huku Tanzania maana huku ndio kwao. Aache kuvuruga Amani ya nchi za watu. Atafanya watanzania waanze kunyimwa kwenda Marekani kwasababu wataonekana ni wakorofiMtanzania ahamisha maandamano MAREKANI KWA nyimbo za kiswahili..Waandamaji wamuitikia kwa kuimba kiswahili
Serious nimependa sana..kidogo kidogo kiswahili kitaenea tu.
Mtanzania ahamisha maandamano MAREKANI KWA nyimbo za kiswahili..Waandamaji wamuitikia kwa kuimba kiswahili
Serious nimependa sana..kidogo kidogo kiswahili kitaenea tu.
Wakenya wako chinaNi mkenya huyo
Je wabongo wenye kiingereza kilichonyooka ni waingereza?Tulia wewe mkenya hana kiswahili iliyonyooka
... haki gani anaidai huko Marekani huyo mhuni? Haki yake iko Afrika arudi kuidai sio kupayuka kwenye nchi za watu walizozijenga kwa akili, jasho, na damu.
Ni Mtz namjua huyoMitanzania ilivyo fisi.... no way!
atakuwa Mkenya au Mkongomani huyu.
Mtanzania ahamisha maandamano MAREKANI KWA nyimbo za kiswahili..Waandamaji wamuitikia kwa kuimba kiswahili
Serious nimependa sana..kidogo kidogo kiswahili kitaenea tu.
JAMAA JEMBE SANA🤣🤣🤣🤣 muda sio mrefu atarudishwa Bongo huyu ilanimefurahi sana mwana anakuza Lugha anajivunia kuongea kiswahili
🔥🔥
sema wanafanana na unayemjua!Ni Mtz namjua huyo
Sana na huu ndio uzalendo kuna watu wangekuwepo hapo wangejifanya wazungu nao wasingeongea Kiswahili kabisa.JAMAA JEMBE SANA