Mtanzania afungwa jela London kwa kosa la kupost maiti facebook

Nauliza mnaoishi London. Hivi lile gorofa lililoungua ni wahamiaji tu ndio walipangisha Kwasababu hamna muingereza. Haikuwa hujuma kweli??!
Waingereza wapo. Ni council flat ambazo huwa zinatolewa kwa watu wa hali ya chini. Wakimbizi wengi huwa wanazikimbilia hizi nyumba za 'bure' ndio maana unasikia victims wengi ni wahamiaji.
 
nimeenda Fb kumuangalia mshikaji kama atakuwa amejipost kuwa kakamatwa ila nimeona his last post ni 14 june 2017 nimemudd friend ili akitoka nijue mana akitoka tu lazima accept request yangu
 
Mtoa mada kichwa cha mada na habari ya ndani vitu viwili tofauti.

Uandishi wetu bado unatia shaka.

Kichwa cha mada..Amefungwa jela...Na taarifa ya ndani anashikiliwa na Polisi kwa kushukiwa kutuma picha ya marehemu ktk facebook aliyekuwa kwenye floor yake kinyume na sheria ya mawasiliano ya vyombo vya kielectroniki.
Omega amwshafungwa jela tayari

Ni jamaa mtaratibu na asiye na tabia za ajabu

Lakini ndio hivyo tena...

Tuache kupost post tu
 
Sisi tunaposti makinikia yeye anaposti maiti, shauri yake


Sema wewe, huyu jamaa alizoea maisha ya Bongo. Watu wanauana yeye anashangilia ili mmoja afe apige picha na kubandika mtandaoni. Wabongo tuna lack morals, yaani tumekuwa kama watu tusiojitambua ndiyo maana kina Mkapa, JK, Yona walituchezea akili huku wakitupa mialiko Ikulu kwenda kula maandazi na uji wa pilipili manga tukijihisi tunapendwa kumbe tunasanifiwa.
 
2fb8a9a12ef5d855835adfcb5d7f6159.jpg
na hao wanawake hapo nyuma Walikia wanagombana au ??
 
Kama picha za kawaida taratibu za kupost zimefuatwa sidhani kama kuna shida labda kama Kuna ambayo hatuyajui tufahamishe Tafadhali itusaidie.

Ila nafikiri media haziruhusiwi kupost picha za Maiti,mtu anauwawa Mara nyingi picha zinazoonyesha damu ya mwanadamu ikimwagika.

Picha yoyote ambayo siyo yako huruhusiwi kuibandika popote bila idhini ya mwenyewe. Unless iwe ni public figure tena siyo ya aibu.
 
Picha yoyote ambayo siyo yako huruhusiwi kuibandika popote bila idhini ya mwenyewe. Unless iwe ni public figure tena siyo ya aibu.
Nashukuru kwa ushauri mzuri........vipi kama ni group picture!!?! Mfano wachezaji mpira,wanachuo,wafanyakazi, tukio kubwa la public,fans wa music,mpira n.k
 
Nashukuru kwa ushauri mzuri........vipi kama ni group picture!!?! Mfano wachezaji mpira,wanachuo,wafanyakazi, tukio kubwa la public,fans wa music,mpira n.k

Lazima kuwe na consent ya mwenye picha hususan ikiwa na aibu au simanzi.
 
Lazima kuwe na consent ya mwenye picha hususan ikiwa na aibu au simanzi.
Hiyo nimekuelewa Dada yangu....nauliza kama ni group picture ya furaha mfano graduation za shule na vyuo au mko mpirani pale Taifa umepiga picha ya washabiki hapo napo Inahitaji consent yao au?
 
Yah kwa nchi UK kuna kanzidata inayoweza kutambua mtu maana wenzetu kila mtu kasajiliwa na mgeni ukifika unadskiliwa.
Lakini huku kwetu kwetu unaweza kuona picha ya mpendwa wako labda mtoto wako au mwinine tu inasambazwa halafu mtu anaandika habari mpaduko
 
Sawa kabisa ni kukosa utu eti type amen unakuta maiti ilichinjwa jitu linapost tu bila aibu yoyote..
 
Back
Top Bottom