Unaujua upuuzi wewe waende uhamiaji ina maana wizara haina kumbukumbu za watu wake walio njee?Acha upuuzi.
Kama ndio hivyo apumzike Kwa amaniAmezamia kitambo huko France.
So alizamia KWA Njia Gani? Tunataka maelezo yaliyojitosheleza tumechoka watanzania kufanywa empty mind kama alizamia zamani akiwa kijana mpaka now 61 hakuwa anatafuta ndugu na jamaa zake au? Tunataka taarifa kamiliAmezamia kitambo huko France.
Mtu anafariki hapa Tz ndugu wanakosekana mpaka anazikwa na serikali sembuse huko mamtoni?So alizamia KWA Njia Gani? Tunataka maelezo yaliyojitosheleza tumechoka watanzania kufanywa empty mind kama alizamia zamani akiwa kijana mpaka now 61 hakuwa anatafuta ndugu na jamaa zake au? Tunataka taarifa kamili
Si bora hapa tz changanyikeni kuliko mambele ambako kufika, kuishi lazma uwe full documents.Mtu anafariki hapa Tz ndugu wanakosekana mpaka anazikwa na serikali sembuse huko mamtoni?
Ebu tuambie aliondoka lini na KWA Njia Gani?Full document? Unajua aliondoka lini? Bichwa maji
Hivi unaelewa watu wanaposema "alikuwa na ugonjwa wa akili"?Ok kama hakuwa na passport ya tanzania basi alibadili uraia na sisi tanzania haturuhusu uraia pacha so wazike mungu ni wetu sote
Wewe Acha janja janja hata huitwe mohamed na akuna jina unique duniani mzee ana miaka 60 tufanye kaenda huko na miaka 30 so itakuwa KWA makadirio kaenda 90s so miaka 30 iliyopta idara inakosaje kumbukumbu za muda kama huo??Hivi unaelewa watu wanaposema "alikuwa na ugonjwa wa akili"?
Hivi unafahamu mtu mwenye ugonjwa wa akili anaweza hata kutoka nje bila nguo?!
Sasa kama anaweza "kusahau" hata alipoweka nguo, hivi mtu kama huyo unatarajia atafahamu lolote kuhusu kuwa na passport?!
Unadai waende uhamiaji...
Mtu mwenye umri wa miaka 61, ambae ameenda huko miaka kadhaa, uliwahi kujiuliza ikiwa taarifa zake zinaweza kuwa in electronic database?
Mbaya zaidi, jina lake halipo unique, surname yake yenyewe ni Mohamed... ulishawahi kujiuliza ugumu wa kutafuta taarifa kupitia jina kama hilo?
Kuna watu ukiwauliza hayo maswal wanatukanaPoleni ndugu ,jamaa na marafiki.
Ubalozi wamejuaje kama ni Mtz? Wamejuaje jina lake? Kama thru Passport basi watafute taarifa alizojaza enzi anaapply pspt.
Mbowe ,Adamoo sio Magaidi.
Najua ulicho kiwazaDuh. Noma sana.
Labda hana mke wala watotohata mke wake mwenyewe hajawahi kukanusha sasa wewe ni nani?!!
Kwa umri huo ni wale wazamiaji waliotumia passpoti zile za kufunguliwa faili la kuandikwa kwa mkono na jina kuandikwa kwa mwandiko mcharazo amazing ambao ni mtu mmoja tu alikuwa anaandika hizo pasi, ni pasi ambazo watu wengi waliweza kughushi na kujiita Watanzania kumbe ni Warundi/Wakongo/Wasauzi/Wakenya na hata hazina kumbukumbu.Wengine n wazamiaj tu ingekuwa ana passport taarifa zake zote zingekuwa wazi
Seems like hujui watu walikuwa wanaenda vipi mbele miaka ya nyuma....Wewe Acha janja janja hata huitwe mohamed na akuna jina unique duniani mzee ana miaka 60 tufanye kaenda huko na miaka 30 so itakuwa KWA makadirio kaenda 90s so miaka 30 iliyopta idara inakosaje kumbukumbu za muda kama huo??