Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Juliana, dada wa kitanzania alifariki dunia usiku wa tar 31 Dec huko Oman.
Juliana ambae alikuwa akiishi Upanga amekuwa akiruka kama mfanyakazi wa ndege wa ndani wa kampuni ya atcl kabla ya kubahatika kupata ndege ya oman air;dada huyu mpole mcheshi amekufa akiwa kwenye tax akiwahi flight yake.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.
Maiti ya dada July imetua leo na Qatar Airways na kuelekea Muhimbili kuwekwa kwenye jeneza atakalozikwa nalo kabla ya kupelekwa kukesha nyumbani mama mzazi ambae anafanya kazi UNDP.
Mungu ampr roho ya rehema na uvumilivu. Mazishi yanafanyika kesho Kinondoni baada ya kuagwa pale nyumbani
Juliana ambae alikuwa akiishi Upanga amekuwa akiruka kama mfanyakazi wa ndege wa ndani wa kampuni ya atcl kabla ya kubahatika kupata ndege ya oman air;dada huyu mpole mcheshi amekufa akiwa kwenye tax akiwahi flight yake.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.
Maiti ya dada July imetua leo na Qatar Airways na kuelekea Muhimbili kuwekwa kwenye jeneza atakalozikwa nalo kabla ya kupelekwa kukesha nyumbani mama mzazi ambae anafanya kazi UNDP.
Mungu ampr roho ya rehema na uvumilivu. Mazishi yanafanyika kesho Kinondoni baada ya kuagwa pale nyumbani