afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Nini tena mpenzi Afro??
mmmhh nilitegemea kuona ur handsome face leo...
nikakuta hakuna kitu.....
nilizani PM ameweza kuuvuta mkono nakuonyesha sura yako....
Nini tena mpenzi Afro??
mmmhh nilitegemea kuona ur handsome face leo...
nikakuta hakuna kitu.....
nilizani PM ameweza kuuvuta mkono nakuonyesha sura yako....
Lol!Aaah! Paka ananichokoza naona! sasa hata picha hajaweka!:angry:
Picha inaonekana kwa wana CCM tu, ukiwa chama kingine huoni kitu!