Mtangazaji yupi anakuvutia?

Boko anamuwekea Haruna, Haruna anamrudishia Boko,, Boko anapiga ndaniii Chamaaaaaaaaaa Chama babaa, Clatous Chota Chama

Idd Salum Kidedea

2019: Simba 2-1 As Vita
 
Yupo jamaa alitangaza Kiss FM wakati ule ikiwa imara sana.Aliitwa Tobby the Splash. Jamaa alikua na bonge moja la vocal.Sijawahu kusikia mtangazaji wa viwango vyake hapa bongo
 
Yupo jamaa alitangaza Kiss FM wakati ule ikiwa imara sana.Aliitwa Tobby the Splash. Jamaa alikua na bonge moja la vocal.Sijawahu kusikia mtangazaji wa viwango vyake hapa bongo
Nyie ndo wale mitihani inakuja mirahisi lakini bado mnapata F..kidding though.

Huyo mtangazaji alikuwa wa mpira?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom