wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Mi sijui labuda tufanye uchunguziUnataka kuniambia hata luakamba ambaye Ni me naye kadinywa ndio akapewa gari na diamond?
Mi sijui labuda tufanye uchunguziUnataka kuniambia hata luakamba ambaye Ni me naye kadinywa ndio akapewa gari na diamond?
Wewe mtu umjui na Wala ujawahi kuishi nae lakini unajifanya unamfahamu kwa kujifanya unajua mambo yake binafsi wewe umejuaje kwamba lile gari alimiliki Ni Kiki tu?Wivu mke wa tatu au wivu gari kuzawadiwa??
Kwanini unaamini hivyo?Huyu atakua alionesha dalili za kuondoka......
Wapenda kiki wale eti alisema hakulipenda kaagiza lingine! Ila na ndoa yake nayo imepoooooza utafikiri ilipata stroke siku ile ukumbini kulikoni??
Mwambie alitumie ata leo tulione shida ikwapi na ilo povu la mshindiWewe mtu umjui na Wala ujawahi kuishi nae lakini unajifanya unamfahamu kwa kujifanya unajua mambo yake binafsi wewe umejuaje kwamba lile gari alimiliki Ni Kiki tu?
Hata kumuona ujawahi Sasa Hilo gari utalionea wapi?Mwambie alitumie ata leo tulione shida ikwapi na ilo povu la mshindi
Kwanini unaamini hivyo?
Kwanini usianzishe hiko kitu wewe?Watakua wanapewa pesa kidogo sana hadi unapewa zawadi ya gari badala ya kununua kwa hela zake? Waanze kuwapa hati ya viwanja ili kuonyesha kuwajali au watoe gar la ofisi watangazaji wawe wanapitiwa vituon na kurudishwa nyumban
Khaaa una tabu weweHata kumuona ujawahi Sasa Hilo gari utalionea wapi?
Me Sina tabu na mtu nashangaa wewe kuwa na tabu na maisha ya mtu ambaye hata umjui zaidi ya kumuona kwenye social media.Wabongo punguzeni Sana ujuaji.Khaaa una tabu wewe
Asa povu lote la nini na umefuatilia vipi ukahisi simjui, khaa hii jf relax unalia nini sasaMe Sina tabu na mtu nashangaa wewe kuwa na tabu na maisha ya mtu ambaye hata umjui zaidi ya kumuona kwenye social media.Wabongo punguzeni Sana ujuaji.