Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
sio kila post lazima uchangie...
Sasa huyo Binti hapo kaiba nini mpaka uje na Kanga Begani na kuandika matapishi ulioandika hayo?
Ni mawazo yake, na ana haki ya kutoa yaliyo moyoni kwake. Ww unakerwa na nini???