NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,020
- 3,991
RipMzee Rainfred Masako atakuwa alistaafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RipMzee Rainfred Masako atakuwa alistaafu
Funguka tuu mkuu, tujuzane haya mamboUkweli kuhusu kisa Cha huyu dada kinasikitisha sana mzee, Baada ya Muda mrefu, Ni mwezi juzi ndio nilipata a to z juu ya lile tukio Toka kwa watu wa.....siwezi kuelezea kisa chote. Kiufupi Ni Mambo ya usaliti na kwanini mama aliuwawa! Ni sababu alishiriki kwa Namna flani kumkingia kifua binti yake wakati anajihusisha na hiyo dhambi. Na Ile laptop ilikutwa mezani bado Ina play kale kamchezo ambako jamaa alitega camera room.Niishie hapo.
Wakuu hilo nalo Muhimu sana kujua watu hawa, Mtu kama Spencer Lameck , mtu kama Ufo Saro.. na mwingine namuongezea hapo, FREDWAA, Ambaye alikuwa Free Africa, Baadaye Clouds. Sasa simsikii kabisa, msaada wakuu