Amna sio ulemavu. Kuna visababishiJAMANI NI ULEMAVU WA MAUMBILE YA SAUTI.
MSIWAPONDE,Kesho kwako
Mwaipuge - Mwaifuge
Isakwisa Mwaifuge
Kazi bila Majungu haiendiWEWE NI MFANYAKAZI WA ITV TENA MTANGAZAJI MWENZIE. ACHENI KUPIGANA MAJUNGU.
UNATAKA NA WEWE KWENDA BUNGENI KULA POSHO?
Na pia walikuaga na Rainfred Masako..
Amekunywa kongagiNimekuwa nikimsikiliza mtangazaji huyu wa ITV Mwaipuge anayeripoti kutoka bungeni sauti yake si ile tuliyoizoea. Ina mkwaruzo Fulani unaoudhi hata kusikiliza, amekula kitu gani? Wahusika hebu lichunguzeni Jambo Hilo, ninaamini Mimi ninavyokereka, wapo na wengine