TEACHER FRANK MSIGWA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 537
- 443
Hao heslb mi nilishaapa sitakuja kuwalipa pesa hata siku moja...watoe tu utaratibu si ambao hatutaki kulipa tuandikishe majina yetu watupeleke mahakamani twende tukawashindie huko
Wengi waliofanyia figisu database ni wale waliopata mikopo na sasa wako kwenye system.1994
Pengo la Kamoga halijazibika
KWANI KUUZA ICE CREAM SIYO KAZI HEBU ACHENI UJINGA,FANYENI KAZI MLIPE MADENI
Kadhihaki wapi...katoa ushauri....anaeona unafaa afanyie kazi kama haufai apotezee....au na wew ni mdaiwaNa sijui kwanini na yeye alikubali Uteuzi wa kwenda kuwa DED huko Mbulu na matokeo yake kutuleta matatizo mapya sasa 360 Clouds tv. Watangazaji wenzake aliowakuta na ambao kimsingi wanamzidi kwa kila kitu akina Babie Kabae na Sam Sasali tokea tuwajue hapo 360 hawajawahi hata siku moja kuwadharau na kuwadhihaki Watanzania kwa namna moja au nyingine ila huyu Hassan Ngoma hata miezi sita ( 6 ) hajamaliza tayari ameshaanza kututibua. Nakubaliana kabisa na Wewe tena 100% kuwa pengo la Hudson Kamoga bado halijazibika.
Halafu na Wewe Poti wangu Joseph Kusaga na Mtani wangu Ruge Mutahaba hebu muwe mnaangalia basi na Watu wa kuwaajiri hapo kwenu kwani kuna wengine watawaharibia na Vituo vyenu kuonekana ni vya hovyo hovyo. Tunamwomba huyu Mtangazaji wenu wa 360 Hassan Ngoma aombe radhi kwa kauli yake hiyo ambayo kiukweli imetukera sana na mno Watazamaji wenu na atumie platform hiyo hiyo ya tv yenu kuomba radhi.
Mimi ni Mdau wenu mkubwa tu ila kwa hii kauli ya Mtangazaji Hassan Ngoma nimesikitika kwa kiasi kikubwa. Msomi gani huyo asiyejua kuchuja maneno ya kujua wapi aseme nini na wapi apotezee?
Jaman kweli hili linakuaje?kwan naomba mwanasheria atusaidia.huwez sain mkpo wa 8%afu baadae unatakiwa ulpe 15%kwan sheria inavyotungwa kwny vtu kama hv inakuaje???napata shda mm nisaidienJe, sidhani kama ni sahihi kuanza kunikata mkopo kwa asilimia 15 wakati Mimi na wao tuliingia mkataba wa kukatwa asilimia 8. Hii haivumiliki, kwa kweli. Sheria hii ya 15% ilitakiwa itumike wakati gani? Nadhani hapa kuna changamoto, tunaomba wanasheria mtusaidie