TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Kama wanayompa ruge maana hata huyu alifariki bado ni mfanyakazi wa CLOUDS
ruge alikuwa nani? na huyu ni nani

ruge alikuwa mmoja waanzilishi huyu n mtangazaji heshima yake huwez taka iwe kama ya ruge
 
Juzi kwenye miaka miwili ya kifo cha Ruge,uliona Kusaga family hata mmoja akiwa Bukoba??

Ruge alikua ameajiriwa na Clouds kama alivyokua Kibonde! Sema Ruge was a mastermind za shughuli zote za Clouds!
umewahi fatilia historia ya clouds fm,mwanzilishi ni nani
 
61 Reactions
Reply
Back
Top Bottom