zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,002
- 21,217
heshima iliishia siku ya mazishi yake.Huyu jamaa CLOUDS hawampi heshima anayostahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heshima iliishia siku ya mazishi yake.Huyu jamaa CLOUDS hawampi heshima anayostahili
Heshima gani?..Huyu jamaa CLOUDS hawampi heshima anayostahili
Huyu jamaa CLOUDS hawampi heshima anayostahili
Kama wanayompa ruge maana hata huyu alifariki bado ni mfanyakazi wa CLOUDSheshima iliishia siku ya mazishi yake.
ruge alikuwa nani? na huyu ni naniKama wanayompa ruge maana hata huyu alifariki bado ni mfanyakazi wa CLOUDS
Kumbe unataka ukifarki walio baki waendelee kukupa heshima! Mimi nafikili wewe jalibu kutengeneza mazingira ya wewe kuishi Tena baada ya kifo.Huyu jamaa CLOUDS hawampi heshima anayostahili
umewahi fatilia historia ya clouds fm,mwanzilishi ni naniJuzi kwenye miaka miwili ya kifo cha Ruge,uliona Kusaga family hata mmoja akiwa Bukoba??
Ruge alikua ameajiriwa na Clouds kama alivyokua Kibonde! Sema Ruge was a mastermind za shughuli zote za Clouds!
Siku nyingiKumbe huyu jamaa alishafariki!!!