cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
Hapo sawa ila nahis hiii na kwa wale wenye vijihela ila si huku uswazi kwetuSiku hizi haipo hio na usione wamependeza ukadhan wanapenda wengi wanatakiwa wawe hivyo na ukute ni sare basi atatakiwa aivae na watu wa karibu watamsaidia kumvalisha.
Sent using Jamii Forums mobile app