TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Ukiangalia sura zao watoto wa Ephraim Kibonde utaona wanawaza vingi sana, huzuni zimewatawala kwani wamepoteza Baba
54247305_360009854849090_945790316742162856_n.jpg
 
Ukiangalia sura zao watoto wa Ephraim Kibonde utaona wanawaza vingi sana, huzuni zimewatawala kwani wamepoteza BabaView attachment 1041657

Unapoteza baba, mwangalizi, mwezeshaji, mlezi, mlinzi, mtu wa kwanza kumkimbilia wakati wa shida yoyote ile, mshauri na rafiki yenu.

Huu ndo wakati wa Ephraim Junor kusimama kama baba na kuchukua nafasi hiyo kuwaangalia wadogo zake.

Babu yupo lakini anahitaji kupumzisha akili ili asiwaze sana kutokana na umri.
 
Pole mkuu,huwa nahisi hawa jamaa wana taratibu zao za kupata habari so kama habari hawajaipata kutoka vitengo wanavyoviamini wao huchukulia kama uzushi na huifuta ila ikishakuwa confirmed akitokea member mwengine akaanzisha uzi unaofanana na wako unakuwa released jukwaani.

Japo inakatisha tamaa tuvumilie maybe watajirekebisha.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Wanahabari wako makini sana kuliko hata serikali,hawatangazi ovyoovyo bila kujirihidhisha.Ni kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi haipo hio na usione wamependeza ukadhan wanapenda wengi wanatakiwa wawe hivyo na ukute ni sare basi atatakiwa aivae na watu wa karibu watamsaidia kumvalisha.
Aaahhh nikajua labda nikujivalia tu maana kama ningekuwa mimi zile za juzi wakati watukio ndio izo izo mpaka tukio kuisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom