Ukiangalia sura zao watoto wa Ephraim Kibonde utaona wanawaza vingi sana, huzuni zimewatawala kwani wamepoteza BabaView attachment 1041657
Ukiangalia sura zao watoto wa Ephraim Kibonde utaona wanawaza vingi sana, huzuni zimewatawala kwani wamepoteza BabaView attachment 1041657
Dgo kafanana na dingi kinomaa..Mtoto wa Kiume wa Ephraim Kibonde, Junior akifarijiwa na Bw. Simon SimalengaView attachment 1040826
Joseph Kisaga dah!Waziri Mkuu Wa Tanzania Mh Kassim Majaaliwa, Amefika Nyumbani kwa mpendwa wetu EphraimKibonde na kuweza kutoa pole na kuhani pamoja na watu waliofika nyumbani hapo maeneo ya Mbezi Beach .View attachment 1040828
Duh kumbe wazazi wake bado wapo.!Wazazi wa kibonde bado wapo hai wanajiweza hivyo watoto wapo kwenye mikono salama watakachokosa ni uwepo,malezi ya wazazi wao
Ila dgo nmemkubali .amekaza kiume ..MATUKIO YA PICHA :Junior Kibonde mtoto mkubwa wa Ephrahim akimfariji mdogo wake Illaria ambaye ndiye kziwanda wa Ephrahim...!View attachment 1041656
Ctn iliondoka siku nyingi...dtv sina uhakika...kuna wakati zote zilinunuliwa na mhindi wa channel 10...sasa hivi channel 10 imenunuliwa na ccm sasa sijui hatma zao ni nini
Aiseee mimi nisingeweza kuvaa suti na tai juu maana iko kilio nadhani kisingeisha leo wala keshoUkiangalia sura zao watoto wa Ephraim Kibonde utaona wanawaza vingi sana, huzuni zimewatawala kwani wamepoteza BabaView attachment 1041657
Maana nakumbuka enzi izo dtv ndio channel ilikuwa inapiga miziki hatariCtn iliondoka siku nyingi...dtv sina uhakika...kuna wakati zote zilinunuliwa na mhindi wa channel 10...sasa hivi channel 10 imenunuliwa na ccm sasa sijui hatma zao ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sana aiseeeeeHali ilivyokuwa kwa watoto wa Ephraim Kibonde baada ya kufika makaburini ili kuweza kumpumzisha Baba yao kwenye makazi yake ya milele.View attachment 1041741View attachment 1041742View attachment 1041743View attachment 1041744
Aiseee mimi nisingeweza kuvaa suti na tai juu maana iko kilio nadhani kisingeisha leo wala kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaahhh nikajua labda nikujivalia tu maana kama ningekuwa mimi zile za juzi wakati watukio ndio izo izo mpaka tukio kuishaUngeweza tu au ungevalishwa ni dress code so lazima avae
Wanahabari wako makini sana kuliko hata serikali,hawatangazi ovyoovyo bila kujirihidhisha.Ni kweli mkuuPole mkuu,huwa nahisi hawa jamaa wana taratibu zao za kupata habari so kama habari hawajaipata kutoka vitengo wanavyoviamini wao huchukulia kama uzushi na huifuta ila ikishakuwa confirmed akitokea member mwengine akaanzisha uzi unaofanana na wako unakuwa released jukwaani.
Japo inakatisha tamaa tuvumilie maybe watajirekebisha.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Aaahhh nikajua labda nikujivalia tu maana kama ningekuwa mimi zile za juzi wakati watukio ndio izo izo mpaka tukio kuisha
Sent using Jamii Forums mobile app