Said Shabani Kondo
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 312
- 195
Kufa usifiwe. R i p Baba TAliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Lovers Rock ya EastAfrica, Baba T amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi kuhusu taratibu za mazishi zitatolewa.
View attachment 2007115