Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,293
BURIANI BABA T
Sasa alikua anangoja nin bongo au alishikiwa mtutu kuishi hapa?si kweli maana hadi mwezi ulopita alikuwa anataka kuhamia Ghana. Katika maisha yake hakukubali kuwa Mtanzania. Alikuwa rafiki wangu wa karibu
Alisubiri mteja wa kununua nyumba yakeSasa alikua anangoja nin bongo au alishikiwa mtutu kuishi hapa?
Vipi kamanda alikuwa anakwazika na nini tz? kunyimwa passport?uhuru wa kuishi mawazo etc? Uchumi na maslahi ya kazi au nini hasa hadi atamani kuondoka tz licha ya kuishi kwake hapa miaka mingi?Alisubiri mteja wa kununua nyumba yake
Kikubwa kunyimwa uraia, wakazi wenzake wa Tegeta - Nyaishozi waweza kujibu maswali yako mengineVipi kamanda alikuwa anakwazika na nini tz? kunyimwa passport?uhuru wa kuishi mawazo etc? Uchumi na maslahi ya kazi au nini hasa hadi atamani kuondoka tz licha ya kuishi kwake hapa miaka mingi?
Na je historia yake wakati akihamia tz alikuwa na elimu gani, kipato gani na umri gani?
...amfagilii.. unamaanisha nini?Mzee alikuwa amfagilii Bob Marley.. anasema Bob alikuwa mbinafsi sana na mpenda sifa na mchoyo
HaaahaaahaaaUnaandika vitu gani hivi?
😂😂😂Nadhan kuna uzi humu unamuelezea. Ni mjamaica ila aliishi Bongo kutokana na ile Back to Africa movement so yeye alichagua Tanzania. Ni kwa mujibu wa huo uzi.
True hata pale East Africa radio aliacha kufanya kazi sababu ya vibali vya kazi hii nchi ni ya hovyo sana mtu kaishi zaidi ya miaka 50 lkn bado wanamletea ugumu, nchi yenyewe masikini sijui tungekua kama US ingekuajeKikubwa kunyimwa uraia, wakazi wenzake wa Tegeta - Nyaishozi waweza kujibu maswali yako mengine
Au walihisi ni kipepeoTrue hata pale East Africa radio aliacha kufanya kazi sababu ya vibali vya kazi hii nchi ni ya hovyo sana mtu kaishi zaidi ya miaka 50 lkn bado wanamletea ugumu, nchi yenyewe masikini sijui tungekua kama US ingekuaje
Sheria ya wageni kutomiliki Ardhi ililetwa na Land Act, 1999 nyuma ya hapo kila mtu aliweza milikishwa bila kujali uraiaIlikuwaje akamiliki nyumba wakati sio raia
R.I.P Rasta
Inaweza kua lkn bado walipuyanga miaka yote hio si kama alikua na jambo lake kasha malizaAu walihisi ni kipepeo
It's undisputable fact that Bob Marley pamoja na kuomba nyimbo zenye ujumbe wa kirasta na kusaidia ukombozi wa Africa na mwafrika ikiwemo kuweka Jamaica kwenye ramani ya dunia kwenye music wa reggae, bado Bob alikuwa na Mambo yake Kama mwanadamu ambayo asingeweza kuwafurahisha kila mtu lakini alifanya alichoweza kwa nafasi yake ikiwemo kutembelea nchinza afrika kwenye mapambano ya kudai Uhuru.Mzee alikuwa amfagilii Bob Marley.. anasema Bob alikuwa mbinafsi sana na mpenda sifa na mchoyo