Mtangazaji maarufu iringa apigwa changa la macho bar ,aibiwa simu

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
Mtandao huu jana ulikuwa na habari ya kada wa UV CCM ambaye ni mgeni mjini Iringa kuibiwa simu yake katika mazingira ya kutatanisha bar moja maarufu ambako alikwenda kutafuta mwanamke kwa ajili ya kuondoa uchovu wa kambi ya vijana inayoendelea kijiji cha Ihemi kwa vijana wa Tanzania nzima kuwepo huko,habari ambayo imesomwa pia katika kituo cha Radio Ebony Fm kupiti akipindi cha Morning Talk Show ambapo waendeshaji wa kipindi hicho waliweza kutumia taaluma yao kutoa elimu kwa umma kuhusina na utapeli huo unaofanywa kundi la wanawake watapeli mjini Iringa .

Lakini hali hiyo ya utapeli imeonyesha kugeuka msumari wa moto kwa mmoja kati ya waendeshaji wa kipindi hicho ambaye amelipwa ujira wake wa kutoa elimu kwa umma kuhusina na wanawake hao matapeli wa simu baada ya kumgeuzia kibao mwenyewe kwa kumpora simu yake ya mkononi katika mazingira tata tofauti na yale aliyokuwa akiyatolea elimu kwa wanaume wenye tabia ya kwenda kuafuta wanawake bar.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa nne usiku katika bar moja maarufu huku mmiliki wa mtandao huu ambaye alikuwa amekaa meza moja na mwanaharakati huyo wa elimu kwa umma kupitia kituo cha radio Ebony Fm huku wakijipumzisha kwa kupata supu ya kuku ghafla wakati wakijaribu kuondoka katika eneo hilo la bar maarufu sana nje ya ile ya kada wa CCM alipotapeliwa simu yake,ndipo alipobaini kuwa simu yake ya mkononi imepotea katika mazingira tata huku hali iliyomchanganya mwanahabari huyo na kujikuta akiwa shahidi mzuri wa ule usemi usemao usitukane mambaa kabla ya kuvuka mto.

Mtandao huu unaamini kabisa simu ya mwanahabari huyo imepotea huku ikiwa na siri mbali mbali ila pamoja na kutoa pole kwa mhusika bado inazidi kuonyesha uhakika wa yale ambayo yamekuwa yakisemwa juu ya utapeli wa simu ambao umeibuka ndani ya mji wa Iringa kwa wahudumu wa bar na wasio wahudumu wa bar zaidi ni wananchi kuendelea kuchukua tahadhari pindi wanapo kwenda katika maeno ya starehe na ikiwezekana vitu vya thamani kubwa basi kuwakabidhi kwa maandishi wahudumu wenyewe ili waweze kulinda japo kwa bar zenye wahudumu matapeli zinazidi kujikosesha wateja
 
Sijui ni kweli, au inanibidi niamini tu ya kuwa kweli jambo hili limetukia.
 
Mtandao huu jana ulikuwa na habari ya kada wa UV CCM ambaye ni mgeni mjini Iringa kuibiwa simu yake katika mazingira ya kutatanisha bar moja maarufu ambako alikwenda kutafuta mwanamke kwa ajili ya kuondoa uchovu wa kambi ya vijana inayoendelea kijiji cha Ihemi kwa vijana wa Tanzania nzima kuwepo huko,habari ambayo imesomwa pia katika kituo cha Radio Ebony Fm kupiti akipindi cha Morning Talk Show ambapo waendeshaji wa kipindi hicho waliweza kutumia taaluma yao kutoa elimu kwa umma kuhusina na utapeli huo unaofanywa kundi la wanawake watapeli mjini Iringa .

Lakini hali hiyo ya utapeli imeonyesha kugeuka msumari wa moto kwa mmoja kati ya waendeshaji wa kipindi hicho ambaye amelipwa ujira wake wa kutoa elimu kwa umma kuhusina na wanawake hao matapeli wa simu baada ya kumgeuzia kibao mwenyewe kwa kumpora simu yake ya mkononi katika mazingira tata tofauti na yale aliyokuwa akiyatolea elimu kwa wanaume wenye tabia ya kwenda kuafuta wanawake bar.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa nne usiku katika bar moja maarufu huku mmiliki wa mtandao huu ambaye alikuwa amekaa meza moja na mwanaharakati huyo wa elimu kwa umma kupitia kituo cha radio Ebony Fm huku wakijipumzisha kwa kupata supu ya kuku ghafla wakati wakijaribu kuondoka katika eneo hilo la bar maarufu sana nje ya ile ya kada wa CCM alipotapeliwa simu yake,ndipo alipobaini kuwa simu yake ya mkononi imepotea katika mazingira tata huku hali iliyomchanganya mwanahabari huyo na kujikuta akiwa shahidi mzuri wa ule usemi usemao usitukane mambaa kabla ya kuvuka mto.

Mtandao huu unaamini kabisa simu ya mwanahabari huyo imepotea huku ikiwa na siri mbali mbali ila pamoja na kutoa pole kwa mhusika bado inazidi kuonyesha uhakika wa yale ambayo yamekuwa yakisemwa juu ya utapeli wa simu ambao umeibuka ndani ya mji wa Iringa kwa wahudumu wa bar na wasio wahudumu wa bar zaidi ni wananchi kuendelea kuchukua tahadhari pindi wanapo kwenda katika maeno ya starehe na ikiwezekana vitu vya thamani kubwa basi kuwakabidhi kwa maandishi wahudumu wenyewe ili waweze kulinda japo kwa bar zenye wahudumu matapeli zinazidi kujikosesha wateja
CCM wameanza kuandaa wahuni wao wa kuiba kura na kufanya fujo wakati wa uchaguzi mkuu? Vyama vingine mnafanya nini? Ndiyo mnapigwa chenga za kisigino hivyo.
 
Hii habari haijaeleweka kabisa, eeee bwana irudie kuisoma alafu ilete upya
 
Back
Top Bottom