johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Mtangazaji anayeongoza kwa umaarufu nchini Hassan Tanzanite Ngoma wa Clouds tv amemshukia vikali mbunge wa kawe Halima Mdee kwa kitendo chake cha kuonyesha hadharani barua yake ya kuitwa kwenye kamati ya maadili ya bunge.
Ngoma anasema barua ile ina muhuri wa SIRI hivyo ni utovu wa nidhamu uliotukuka kuipost barua hiyo kwenye mitandao ya kijamii.
Ngoma amesema atashangaa kama mbunge huyo hataitwa tena na kamati hiyo na kufungiwa kwa upuuzi alioufanya akiwa kama kiongozi.
Sasali mtangazaji mwingine wa Clouds tv amempongeza Prof Kitila Mkumbo kwa kumshukia kama mwewe Rais wa TLS Fatuma Karume aka Shangazi
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Ngoma anasema barua ile ina muhuri wa SIRI hivyo ni utovu wa nidhamu uliotukuka kuipost barua hiyo kwenye mitandao ya kijamii.
Ngoma amesema atashangaa kama mbunge huyo hataitwa tena na kamati hiyo na kufungiwa kwa upuuzi alioufanya akiwa kama kiongozi.
Sasali mtangazaji mwingine wa Clouds tv amempongeza Prof Kitila Mkumbo kwa kumshukia kama mwewe Rais wa TLS Fatuma Karume aka Shangazi
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!