Baba Bennetty
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 266
- 166
Siasa haina maana wakati kila kitu kinaamuliwa na siasa...huu ni upumbavu
Wananchi hasa gen z wakiachana na siasa amani itatawala gentleman. Au hamtaki kutawala kwa amani ?ni uelewa mdogo tu,
siasa ni maisha,
kuiepuka haiwezekani kamwe unless uwe mnafiki tu 🐒
Ukimsikiliza vizuri ameongea jambo la umuhimu ,kwasasa akimaanisha kwa hali ilivyo siasa hazina maana ,ni kama slogan ya no reforms na election ,anaamisha kwa uongozi huu/utawala huu hakuna tutakachofanya ni kupoteza muda bora huo muda unaopoteza tufanye kazi.King Kong III, njoo usikie anachokisema bebi Mama.
Nahisi Hana Ithibati huyo mtangazajiMpuuzi sana huyu
Sahihi kabisa.Ukimsikiliza vizuri ameongea jambo la umuhimu ,kwasasa akimaanisha kwa hali ilivyo siasa hazina maana ,ni kama slogan ya no reforms na election ,anaamisha kwa uongozi huu/utawala huu hakuna tutakachofanya ni kupoteza muda bora huo muda unaopoteza tufanye kazi.
Viongozi hawasikilizi chochote ,wanafanya mambo hovyo hovyo ,polepole katekwa hakuna kinachoendelea ,nchi inanyimwa misaada kwa upumbavu wa viongozi hakuna anayejali ,ukitoa maoni tofauti ya watawala UNASAKWA kama Simba au mamba aliyekula mtu.
Media house zote zimejaa vilaza na chawa wa watawala tu.Wakuu,
Wanasema Media ni 'Watchdog' ikimaanisha ni muhimili unaojitegemea ikiwa na majukumu ya kulinda maslahi ya umma kwa kuvumbua mabaya na kuyasemea yale ambayo serikali inafanya.
Kwa kauli ya huyu mtangazaji ikifuatuwa na viitikio vya wenzake baaaas Media zetu zimejaa watangazaji uchwara na machawa.
Tunapolalamika kwamba vyombo vyetu vya habari vimeminywa na serikali tuko sawa, inawezekanaje mtu ambaye amepewa nafasi ya kutoa sauti kwa niaba ya wengine kuwa chanzo cha kuminya sauti hizo eti "Siasa hazina maana" basi wananchi wakae kimya pindi wanapoona mwanasiasa anapominya haki, utekaji ukikithiri, wananchi wanauawa, haki ya kikatiba ikivunjwa, uchaguzi usio huru!!! tubaki tukisema siasa haina maana
Utawezaje kuijenga nchi isiyo na haki, wachache wanaojiita wanasiasa waliojipa mamlaka wakitafuna kodi na rasilimali, sasa itajengwa na nini?
Jianamke kama hili ni hasara kwa familia yakeWakuu,
Wanasema Media ni 'Watchdog' ikimaanisha ni muhimili unaojitegemea ikiwa na majukumu ya kulinda maslahi ya umma kwa kuvumbua mabaya na kuyasemea yale ambayo serikali inafanya.
Kwa kauli ya huyu mtangazaji ikifuatuwa na viitikio vya wenzake baaaas Media zetu zimejaa watangazaji uchwara na machawa.
Tunapolalamika kwamba vyombo vyetu vya habari vimeminywa na serikali tuko sawa, inawezekanaje mtu ambaye amepewa nafasi ya kutoa sauti kwa niaba ya wengine kuwa chanzo cha kuminya sauti hizo eti "Siasa hazina maana" basi wananchi wakae kimya pindi wanapoona mwanasiasa anapominya haki, utekaji ukikithiri, wananchi wanauawa, haki ya kikatiba ikivunjwa, uchaguzi usio huru!!! tubaki tukisema siasa haina maana
Utawezaje kuijenga nchi isiyo na haki, wachache wanaojiita wanasiasa waliojipa mamlaka wakitafuna kodi na rasilimali, sasa itajengwa na nini?
Ukimsikiliza vizuri ameongea jambo la umuhimu ,kwasasa akimaanisha kwa hali ilivyo siasa hazina maana ,ni kama slogan ya no reforms na election ,anaamisha kwa uongozi huu/utawala huu hakuna tutakachofanya ni kupoteza muda bora huo muda unaopoteza tufanye kazi.
Viongozi hawasikilizi chochote ,wanafanya mambo hovyo hovyo ,polepole katekwa hakuna kinachoendelea ,nchi inanyimwa misaada kwa upumbavu wa viongozi hakuna anayejali ,ukitoa maoni tofauti ya watawala UNASAKWA kama Simba au mamba aliyekula mtu.
Wakuu,
Wanasema Media ni 'Watchdog' ikimaanisha ni muhimili unaojitegemea ikiwa na majukumu ya kulinda maslahi ya umma kwa kuvumbua mabaya na kuyasemea yale ambayo serikali inafanya.
Kwa kauli ya huyu mtangazaji ikifuatuwa na viitikio vya wenzake baaaas Media zetu zimejaa watangazaji uchwara na machawa.
Tunapolalamika kwamba vyombo vyetu vya habari vimeminywa na serikali tuko sawa, inawezekanaje mtu ambaye amepewa nafasi ya kutoa sauti kwa niaba ya wengine kuwa chanzo cha kuminya sauti hizo eti "Siasa hazina maana" basi wananchi wakae kimya pindi wanapoona mwanasiasa anapominya haki, utekaji ukikithiri, wananchi wanauawa, haki ya kikatiba ikivunjwa, uchaguzi usio huru!!! tubaki tukisema siasa haina maana
Utawezaje kuijenga nchi isiyo na haki, wachache wanaojiita wanasiasa waliojipa mamlaka wakitafuna kodi na rasilimali, sasa itajengwa na nini?
Malaya wa watawala exposing herself.Wakuu,
Wanasema Media ni 'Watchdog' ikimaanisha ni muhimili unaojitegemea ikiwa na majukumu ya kulinda maslahi ya umma kwa kuvumbua mabaya na kuyasemea yale ambayo serikali inafanya.
Kwa kauli ya huyu mtangazaji ikifuatuwa na viitikio vya wenzake baaaas Media zetu zimejaa watangazaji uchwara na machawa.
Tunapolalamika kwamba vyombo vyetu vya habari vimeminywa na serikali tuko sawa, inawezekanaje mtu ambaye amepewa nafasi ya kutoa sauti kwa niaba ya wengine kuwa chanzo cha kuminya sauti hizo eti "Siasa hazina maana" basi wananchi wakae kimya pindi wanapoona mwanasiasa anapominya haki, utekaji ukikithiri, wananchi wanauawa, haki ya kikatiba ikivunjwa, uchaguzi usio huru!!! tubaki tukisema siasa haina maana
Utawezaje kuijenga nchi isiyo na haki, wachache wanaojiita wanasiasa waliojipa mamlaka wakitafuna kodi na rasilimali, sasa itajengwa na nini?