Tusimzungumzie Mwalimu, tuzungumzie utaratibu. Tukimzungumzia Mwalimu tutakosa maarifa kwani itikadi inaweza ikatamalaki kutoka pande hasimu pasipo kujali weledi.
Haha Chadema na Maalim was wanadai hawataki muungano lakini kwenye ubunge wanataka kugombea wasikotaka,sisi wakazi wa Kinondoni hatumjui huyu MpembaHii mada ni nzuri sana, ila ngoja wakati muafaka utakapofika ndipo utaona waliojificha pangoni wakiibuka!
Nawaza hawa CDM wana maana gani kumuweka Mwalimu pale Kinondoni?
Ngoja kampeni zianze uone watu watakavyoweweseka
Hao "sisi" ni wewe na nani?Haha Chadema na Maalim was wanadai hawataki muungano lakini kwenye ubunge wanataka kugombea wasikotaka,sisi wakazi wa Kinondoni hatumjui huyu Mpemba
Nadhani wewe sio tu bila shuka, ni zaidi ya hapo. Rais wenu? Ndio nini, wewe ni wa wapi? Eti dagaa, wewe hivi unajitambua kweli? Kagua gwaride, kwani cha ajabu ni kipi hapo? Hata wa Kenya anaweza likagua gwaride la JWTZ, je ana mamlaka ya kuliamrisha? Je,naye ni Amiri jeshi mkuu?
Mambo mengine hayahitaji ujuaji, Zanzibar sio nchi, ni sehemu tu ya JMT, full stop. Mengine yote mbwembwe tu.
Lengo la chadema ni kutaka kuwabaini wanafiki na misukule.Hii mada ni nzuri sana, ila ngoja wakati muafaka utakapofika ndipo utaona waliojificha pangoni wakiibuka!
Nawaza hawa CDM wana maana gani kumuweka Mwalimu pale Kinondoni?
Ngoja kampeni zianze uone watu watakavyoweweseka
Unajikosha tu mkuu....
Lakini nina hakika reference ya hoja yako ni Salim Mwalimu (mgombea wa kiti cha ubunge, jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CHADEMA) ambaye asili yake ni Zanzibar....
Acha tu hoja ijadiliwe na mwenye kujenga hoja kwa kumtumia Salimu Mwalimu na uchaguzi wa marudio wa Jimbo la Kinondoni, afanye hivyo na mimi kwa upande wangu sioni tatizo lolote!!
TNGANYIKA mwisho ilikuwa 1964, kutokea hapo hakuna nchi inayoitwa TANGANYIKA na hatuna binadamu anayeitwa MTANGANYIKA.Hatuna MTU anaitwa mtanganyika
Wazanzibari wengi hawaupendi muungano, ndiyo maana wale jamaa wa uamsho wapo ndani hadi leo, sijamuona hata mtanzania bara mmoja mwenye kupinga muungano kama wanavyoupinga wazanzibari. Ikiwa tumekubali muungano wa serikali 2 hayo ndiyo matokeo yake. Baada ya muungano vyama vyote vya siasa vilivunjwa na kuundwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchi iliyofanya mapinduzi ni Zanzibar huku kwetu bara hatujapindua serikali yoyote, kwa mantiki hiyo CCM ni chama kinachowahusu sana wazanzibari.Mimi siko CHADEMA ila MUUNGANO HUU wa TANGANYIKA na ZANZIBARI sijawahi kuuelewa maana MTANGANYIKA ukiwa ZANZIBAR wewe ni Mtanganyika sio raia wa Zanzibar na hupati haki zote kama anazopata MZANZIBARI ila MZANZIBARI akiwa TANGANYIKA, yeye ni MTANZANIA hivyo anapata haki zote kama walivyo WATANGANYIKA.
Mimi Naona muungano huu unatupa hasara WATANGANYIKA unawapa faida kubwa WAZANZIBARI yaani kiukweli kwa muungano huu, WAZANZIBARI wanatutawala WATANGANYIKA kupitia sisi wenyewe nadhani Katiba mpya ikiija iifute ZANZIBAR kama ilivyofutwa TANGANYIKA ili wote tuwe sawa na tuwe na serikali moja ili tuijenge nchi moja yaani TANZANIA moja.
Vinginevyo, WATANGANYIKA na sisi tutaidai TANGANYIKA yetu iwepo kama ambavyo ZANZIBAR ipo ili usawa uwepo. Futeni ZANZIBAR kama mlivyoifuta TANGANYIKA wote tubaki na uraia mmoja wa TANZANIA na tuongozwe na raisi mmoja Wa serikali moja ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
TLS ni akina nani wale....?TNGANYIKA mwisho ilikuwa 1964, kutokea hapo hakuna nchi inayoitwa TANGANYIKA na hatuna binadamu anayeitwa MTANGANYIKA.