ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,040
Kuna tofauti chache sana kati ya Arusha na Songea ukilinganisha na zilizopo kati ya Unguja na Pemba.Kuna tofauti gani kati ya pemba na unguja ? Acha ubaguzi wa kishamba wewe
Kuna tofauti chache sana kati ya Arusha na Songea ukilinganisha na zilizopo kati ya Unguja na Pemba.Kuna tofauti gani kati ya pemba na unguja ? Acha ubaguzi wa kishamba wewe
Inawezekana, mbona Sylvester Mabumba alichaguliwa kuwa Mbunge wa Donge mwaka 2010 na akawa mmoja wa wenyeviti wa Bunge waliokuwa wanamsaidia Spika Anna Makinda?Wataalamu wa sheria na katiba naomba mnijulishe. Hivi Mtanganyika, yaani Mtanzania bara anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Sheria imekaaje?
Vipi Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanzania bara? Hapa napo sheria na katiba inasemaje?
Wenye weledi tafadhali.
Mkuu sitaki kuamini kwamba hata sivics ya form one hujasoma. Ingefaa ukabainisha hizo tofauti basiKuna tofauti chache sana kati ya Arusha na Songea ukilinganisha na zilizopo kati ya Unguja na Pemba.
Inawezekana, mbona Sylvester Mabumba alichaguliwa kuwa Mbunge wa Donge mwaka 2010 na akawa mmoja wa wenyeviti wa Bunge waliokuwa wanamsaidia Spika Anna Makinda?
Vv
Kwani judge lubuva ni mzanzibar mbona ameshawahi kuwa mwanasheria wa zanzibar au hujui?Sylvester Mabumba sio Mzanzibar? Nafahamu wengi pia walidhani Adam Mwakanjuki hakuwa mzanzibari.
Haziko kijiigrafia, bali kijamii na kisiasa. Na hata wakazi wake wana upekee kila upande.Mkuu sitaki kuamini kwamba hata sivics ya form one hujasoma. Ingefaa ukabainisha hizo tofauti basi
Domokaya muulize Hussein MwinyiWataalamu wa sheria na katiba naomba mnijulishe. Hivi Mtanganyika, yaani Mtanzania bara anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Sheria imekaaje?
Vipi Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanzania bara? Hapa napo sheria na katiba inasemaje?
Wenye weledi tafadhali.
Katika hili tafadhari wasiliana na Dr Hussein Mwinyi ambaye ni waziri na ni mbunge.Wataalamu wa sheria na katiba naomba mnijulishe. Hivi Mtanganyika, yaani Mtanzania bara anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Sheria imekaaje?
Vipi Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanzania bara? Hapa napo sheria na katiba inasemaje?
Wenye weledi tafadhali.
Inabidi tuwabembeleze,tukifanye mchezo muungano unavunjika huu.Jamaa hawalazi damu hawa,majambia huu juu.Huu muungano una vioja. HAWEZI kugombea hata kuajiriwa serikalini hakiwezekani. Ila mbunge wa Zanzibar eg Hussein Mwinyi anaweza kuteuliwa kuwa waziri bara ila mbunge wa bara eg Mwigulu ya Chemba haiwezekani kuteuliwa kuwa waziri Znz.
bregedia ADAM MWAKANJUKI alikuwa mwakilishi na waziri huko zanzibar kwa zaidi ya miaka 15Mtanganyika (au mtanzania bara) hawezi kugombea nafasi ya ubunge Zanzibar kwa sababu ya uwepo wa sheria zinazotaka mgombea kuwa mzanzibari
Lakini mzanzibari anaweza kugombea nafasi ya ubunge upande wa Tanganyika (au Tanzania bara) kwa sababu hakuna sheria inayo lazimisha mgombea wa nafasi ya ubunge kwa majimbo yaliyopo bara kuwa ni lazima awe mbara (au mtanganyika), zaidi sheria zinasema awe tu mtanzania, na ukisema mtanzania maana yake ni pamoja na wazanzibari
Kwa kweli huu muundo wa muungano wa serikali mbili unao ruhusu wazanzibari kushika mpaka nafasi za watanganyika ni hatari kwa watanganyika wenyewe na maslahi yao kwa ujumla
Huna lolote, ubaguzi tu.Wataalamu wa sheria na katiba naomba mnijulishe. Hivi Mtanganyika, yaani Mtanzania bara anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Sheria imekaaje?
Vipi Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanzania bara? Hapa napo sheria na katiba inasemaje?
Wenye weledi tafadhali.
Wataalamu wa sheria na katiba naomba mnijulishe. Hivi Mtanganyika, yaani Mtanzania bara anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Sheria imekaaje?
Vipi Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanzania bara? Hapa napo sheria na katiba inasemaje?
Wenye weledi tafadhali.
Jeshi(jwt) ni la muungano. Na hussein mwinyi ni wazili ulinzi wa Tanzania. Mambo mengne kama hujuwi sio lazma kucoment.jitahid sana kuficha ujinga wakoHuu muungano una vioja. HAWEZI kugombea hata kuajiriwa serikalini hakiwezekani. Ila mbunge wa Zanzibar eg Hussein Mwinyi anaweza kuteuliwa kuwa waziri bara ila mbunge wa bara eg Mwigulu ya Chemba haiwezekani kuteuliwa kuwa waziri Znz.
Wewe na Salum Mwalimu nani ana akili?Wataalamu wa sheria na katiba naomba mnijulishe. Hivi Mtanganyika, yaani Mtanzania bara anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Sheria imekaaje?
Vipi Mzanzibari anaweza kugombea ubunge Tanzania bara? Hapa napo sheria na katiba inasemaje?
Wenye weledi tafadhali.
yawezekana akagombea halafu hatopiga kuradealing ni kwamba je, Kinondoni no Jimbo la Muungano? Na je, Mwalimu ni Mtanzania wa kuzaliwa au wa kujiandikisha? Kama kuzaliwa Zanzibar, je, kura kujiandikisha kupitia wapi?
Nimekuelewa vizuri utampa kula huyu ndugu.Mwalimu for Kinondoni Kula yangu atapata kwa sababu anaweza kazi na hana kujikweza
Kuna mengi ya kujiuliza! Dr Hussein Mwinyi ana sifa ya uzanzibar mkazi kama alikuwa mbunge bara kabla hajaenda Zanzibar basi hakuwa na sifa ya uzanzibar mkazi