Umdhanie huenda akawa siye. Nitahifadhi maneno, kwa hili ni sawa serikali kuhakikisha kwamba haki imetendeka, Kama serikali itashindwa basi mahakama ndiyo muamuzi, lakini hapo naona semester inakata kamba na ukiingiza na jinsi tufanyavyo mambo taratibu hawa sana sana watarudia mwaka kama issue yao itakwenda vyema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.