kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,887
Mtandao wa Twitter hapa Tanzania umelemazwa kwa maksudi. Nani anaihujumu Twitter?
Nashindwa kuelewa ni nani anaihujumu Twitter hapa nchini.
Ukiingia Twitter inakuwa slow sana mwendo wa kobe na hapo simu ina 4G, lakini ukiwasha VPN inakua fasta sana
Nashindwa kuelewa ni kampuni au TCRA au ni maagizo ya Serikali kuulemaza mtandao wa Twitter kwa sababu za kisiasa?
Nashindwa kuelewa ni nani anaihujumu Twitter hapa nchini.
Ukiingia Twitter inakuwa slow sana mwendo wa kobe na hapo simu ina 4G, lakini ukiwasha VPN inakua fasta sana
Nashindwa kuelewa ni kampuni au TCRA au ni maagizo ya Serikali kuulemaza mtandao wa Twitter kwa sababu za kisiasa?