Mtandao wa TTCL umesambaa nchi nzima?

Wamejitahidi kusambaza maeneo mengi, kwasasa, mikoa mingi wamesogeza huduma, nadhani kinachowaangusha ni matangazo hafifu. ila mikoa kama Tarime, Mwanza, Mbeya, Iringa kote nimepita wapo.
 
Inapatikana vizuri katika maeneo ya mijini.
Pia kwenye hiyo miji ni vema uwe 'katikati' maana yake pembezoni hakuna network coverage nzuri.
RUDI NYUMBANI KUMENOGA.
Nyumbani "kumevurunda vibaya mno" jamaa wamelala sana. Mtoa huduma wao alinieleza eti "ukitaka kutumia Internet nenda maeneo ya mjini mtandao unapatikana vizuri tu"
NB: Tujali na kuthamini vya kwetu.
#Jf.
 
Wamejitahidi kusambaza maeneo mengi, kwasasa, mikoa mingi wamesogeza huduma, nadhani kinachowaangusha ni matangazo hafifu. ila mikoa kama Tarime, Mwanza, Mbeya, Iringa kote nimepita wapo.
Kwa mbeya ni uongo, mtandao wao upo vzr pembezoni mwa barabara kuu, ukitoka nje kidogo zaidi ya kilometer moja hakuna coverage
 
Wamejitahidi kusambaza maeneo mengi, kwasasa, mikoa mingi wamesogeza huduma, nadhani kinachowaangusha ni matangazo hafifu. ila mikoa kama Tarime, Mwanza, Mbeya, Iringa kote nimepita wapo.
ttcl ninayo mwanza sikuipata, kama km 3 toka mjini.

ila Tanga wapo na nimeitumia. hawa jamaa wana tatizo sana la signal hadi mijini simu kuwa na network full ni nadra.
 
Kwa mbeya ni uongo, mtandao wao upo vzr pembezoni mwa barabara kuu, ukitoka nje kidogo zaidi ya kilometer moja hakuna coverage
Nipo mbeya wilaya ya mbarali katika mji wa rujewa kilometer 10 kutoka barabara ya dar_mbeya network iko vizuri kabisa tatizo ni upatikanaji wa vocha tu
 
Wakuu mimi nimeenda seem ambayo ata voda netwok amna ila yenyewe ilisoma kitu ambacho sikutegemea...kwa maeneo ya arusha nimeingia sana uko meru na vijiji baadhi inakubali bila shida ila tu kwenye internet inaishia 3g kwa 4g naona aifik
 
Nipo mbeya wilaya ya mbarali katika mji wa rujewa kilometer 10 kutoka barabara ya dar_mbeya network iko vizuri kabisa tatizo ni upatikanaji wa vocha tu
That's good for you, mi naishi mbalizi but nikitoka nje kidogo tu kwenye shughuli zangu za kila siku not more than two kilometers mtandao unakua hamna hadi nirudi ndio napata network.
 
That's good for you, mi naishi mbalizi but nikitoka nje kidogo tu kwenye shughuli zangu za kila siku not more than two kilometers mtandao unakua hamna hadi nirudi ndio napata network.
In rural areas nilikotembelea kwa kweli Halotel hawana mpinzani, mpaka internet....
 
wananiacha hoi tu pale laini zao zinakuwa hazisomi kwenye simu za tochi ukiwauliza wanakuambia laini zao ni za magoli waliofugwa YANGA na GORMAHIA sasa walalahoi inamaana huu mtandao hautuhusu?
 
Back
Top Bottom