FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Watu wengi wameripoti sms kwa kutumia mtandao wa Tigo zinakwama hewani kwa mud mrefu kabla ya kufika au haziendi kabisa moja kwa moja;
Hii ni mbaya sana kwa sababu SMS zingine ni crtical zifike kwa muda muafaka vinginevyo unavuruga kabisa utaratibu wa maisha wa kila siku.
Unaweza ukahisi mtu amekudharau kwa kutojibu sms zako kumbe amekujibu ila tu hazijakufikia, na yeye pia anaona umemchunia, basi ni shida.
Majibu tafadhali
Hii ni mbaya sana kwa sababu SMS zingine ni crtical zifike kwa muda muafaka vinginevyo unavuruga kabisa utaratibu wa maisha wa kila siku.
Unaweza ukahisi mtu amekudharau kwa kutojibu sms zako kumbe amekujibu ila tu hazijakufikia, na yeye pia anaona umemchunia, basi ni shida.
Majibu tafadhali