Habari za wakati huu watu wa jamvi hili.
Mimi ni miongoni mwa waliofurahishwa sana na juhudi za Dr. Mwinyi kule zanzibar kwa kuweza vyema kuwaunganisha wazanzibari kwa kuunda umoja wa Kitaifa chini ya Almarhum Maalim Seif Sharif Hamad (Allah Amrehemu).
Jambo jengine zuri zaidi Dr. Mwinyi aliloanzisha hivi karibuni ni huu mtandao wa "Sema na Rais" kwamba sasa wananchi wanaweza peleka malalamiko yao mbali mbali na moja kwa moja kwa rais kupita Taasisi mbali mbali mgawanyo wake.
Lakini jambo ambalo linanipa mashaka sana kuhusu uwazi wake katika zile category zote sijaona mtu anaweza peleka malalamiko yahusuyo Tume ya Uchaguzi ambapo eneo hili kwa uzoefu wangu watu huwa na malalamiko mengi sana.
Naomba kuwasilisha.
Mimi ni miongoni mwa waliofurahishwa sana na juhudi za Dr. Mwinyi kule zanzibar kwa kuweza vyema kuwaunganisha wazanzibari kwa kuunda umoja wa Kitaifa chini ya Almarhum Maalim Seif Sharif Hamad (Allah Amrehemu).
Jambo jengine zuri zaidi Dr. Mwinyi aliloanzisha hivi karibuni ni huu mtandao wa "Sema na Rais" kwamba sasa wananchi wanaweza peleka malalamiko yao mbali mbali na moja kwa moja kwa rais kupita Taasisi mbali mbali mgawanyo wake.
Lakini jambo ambalo linanipa mashaka sana kuhusu uwazi wake katika zile category zote sijaona mtu anaweza peleka malalamiko yahusuyo Tume ya Uchaguzi ambapo eneo hili kwa uzoefu wangu watu huwa na malalamiko mengi sana.
Naomba kuwasilisha.