THAN0S
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 739
- 697
Hatujui kingereza, tusubiri paka BBC swahili watutafsirie... Ila kama kuna udaku insta wa klyn na mengi, diamond, zari, Wema, gwajima hata hatuna time na hayo mambo ya wazungu uko..Watanzania wengi ni kama hawajui kinachoendelea Duniani, sijui hii ni Nyerere effect ama ni nini