Habari Wakuu naomba Kuuliza Imekuwa Muda sasa na Mara nyingi kuona Mtandao wa Intenet wa TTCL kupotea au Kuwa na Speed ndogo mnoo hata kwa siku 2 mfululizo huku Mitandao mingine ya mashirika Binafsi ikipeta, na Bahati Mbaya sijui hakuna Operesheni manager au Mtu anaemonitor hili?
Au hakuna wa Kuogopwa?
Mbaya sana hii.
Au hakuna wa Kuogopwa?
Mbaya sana hii.