MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Mtandao wa Instagram kurudi kama zamani,posts zinakuwa zinapangwa kuanzia ya kwanza mpaka ya mwisho, chronological order. Nini maoni yako mtumiaji wa mtandao huu?.
Nilitaman wafungie account za wadada wanajiuza wazi wazi na wale wenye page za madangulo