waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
Hahaha huwa nipo very Care full kwenye suala la kutumia MTU pesa ilehal jatujuan
Hapo ndio pa kuanzia. Ukienda Polisi utakuwa umejipeleka kwa kosa hilo pia. We hesabu maumivu na jipange Upya.Ni kosa kisheria kuingilia mawasiliano ya mtu bila yeye kujua.
Ha ha ha haHapo ndio pa kuanzia. Ukienda Polisi utakuwa umejipeleka kwa kosa hilo pia. We hesabu maumivu na jipange Upya.