Mtandao wa Corona Virus Statistics unaonyesha Tanzania hakuna vifo na maambukizi mapya tangu wiki iliyopita

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
20200428_060259.jpg

20200428_060319.jpg


My Take
Serikali inawajibika kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili. Ni kweli hakuna maambukizi mapya wala vifo vipya? Serikali iseme ukweli wa Mungu-msema kweli mpenzi wa Mungu.

Zipo tetesi zinaendelea kila dakika kuhusu maambukizi mapya hususani Dar es Salaam na vifo kadhaa kuhusishwa na "changamoto ya kukosa pumzi". Lakini hatujasikia waziri akitolea ufafanuzi juu ya jambo hili.
 
Mkuu nafikiri unakosea sana maana hata sisi tulioko mikoani hivo vifo havipo huku so stress zenu za kupinga kila kitu pelekeni kwenye magrup yanu na kina zito

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wapi nimepinga kila kitu? ni kipi hujaelewa hapo? huko mikoani ni wapi?upo mikoani kote mpaka Dsm?serikali haina wajibu kwenye hiki nilikoandika?
 
View attachment 1432998
View attachment 1432999

My Take
Serikali inawajibika kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili. Ni kweli hakuna maambukizi mapya wala vifo vipya? Serikali iseme ukweli wa Mungu-msema kweli mpenzi wa Mungu.

Zipo tetesi zinaendelea kila dakika kuhusu maambukizi mapya hususani Dar es Salaam na vifo kadhaa kuhusishwa na "changamoto ya kukosa pumzi". Lakini hatujasikia waziri akitolea ufafanuzi juu ya jambo hili.
No news is good news, kwa Tanzania mpaka leo, vifo vya Corona ni 10 tuu!, na tangu baada ya hotuba ya rais Magufuli iliyotangazwa live, mubashara kutoka Ikulu ya Chato, na kutuhimiza tujifukize na kuvaa barakoa ya kitambaa chochote, Tanzania hakuna tena maambukizi mapya!.

Hii ni kwa mujibu wa taratibu rasmi za updates za ugonjwa wa Corona zitatolewa na serikali yetu pekee na hakuna any update mpya yoyote ya serikali tangu last Friday.

Hivyo vifo vyote vinavyotokea na kutangazwa kuzikwa na serikali, video clips za mazishi ya usiku usiku zimeletwa humu, clips za miili iliyokufa na kutelekezwa mabarabani, malamiko ya wagonjwa kukataliwa mahospitalini hadi kufa yanayoletwa na watu waliofiliwa ndugu, jamaa, marafiki na wapendwa wao, kwa kukosa huduma na hivyo kuhisiwa ni Corona, sio Corona ni vifo tuu vya kawaida vya magonjwa mengine, ila kufuatia janga la Corona, karibu kila kifo kinahusishwa na Corona, lakini hali rasmi ya Corona mpaka ninapoandika hapa, vifo rasmi vya Corona kwa Tanzania ni vifo 10 tuu na hakuna wagonjwa wapya!.
NB. Sometimes taarifa rasmi inaweza kutofautiana na the real situation on the ground, lakini mimi as a responsible journalist, I only rely on taarifa rasmi za kiserikali na sio taarifa za mitandaoni, hata nikishuhudia miili 100 inazikwa na kuelezwa ni vifo vya Corona, maadam taarifa ya serikali imesema vifo ni 10 tuu, vifo ni 10!.

P
 
Serikali ni mbaya kuliko korona, yani pole pole aliongea opposite

No news is good news, kwa Tanzania mpaka leo, vifo vya Corona ni 10 tuu!, na tangu baada ya hotuba ya rais Magufuli ilitangazwa mubashara kutoka Ikulu ya Chato, na kutuhimiza tujifukize na kuvaa barakoa ya kitambaa chochote, Tanzania hakuna tena maambukizi mapya!.

Hii ni kwa mujibu wa taratibu rasmi za updates za ugonjwa wa Corona zitatolewa na serikali yetu pekee na hakuna any update mpya yoyote tangu last Friday.

Hivyo hivyo vifo vyote vinavyotokea na kutangazwa kuzikwa na serikali, video clips za mazishi ya usiku usiku zimeletwa humu, clips za miili iliyokufa na kutelekezwa mabarabani, watu waliofiliwa ndugu, jamaa, marafiki na wapendwa wao, kwa kukosa huduma na hivyo kuhisiwa ni Corona, sio Corona ni vifo tuu vya magonjwa mengine, hali ya Corona mpaka ninapoandika hapa, vifo rasmi vya Corona kwa Tanzania ni vifo 10 tuu na hakuna wagonjwa wapya!.
P
 
No news is good news, kwa Tanzania mpaka leo, vifo vya Corona ni 10 tuu!, na tangu baada ya hotuba ya rais Magufuli ilitangazwa mubashara kutoka Ikulu ya Chato, na kutuhimiza tujifukize na kuvaa barakoa ya kitambaa chochote, Tanzania hakuna tena maambukizi mapya!.

Hii ni kwa mujibu wa taratibu rasmi za updates za ugonjwa wa Corona zitatolewa na serikali yetu pekee na hakuna any update mpya yoyote tangu last Friday.

Hivyo hivyo vifo vyote vinavyotokea na kutangazwa kuzikwa na serikali, video clips za mazishi ya usiku usiku zimeletwa humu, clips za miili iliyokufa na kutelekezwa mabarabani, watu waliofiliwa ndugu, jamaa, marafiki na wapendwa wao, kwa kukosa huduma na hivyo kuhisiwa ni Corona, sio Corona ni vifo tuu vya magonjwa mengine, hali ya Corona mpaka ninapoandika hapa, vifo rasmi vya Corona kwa Tanzania ni vifo 10 tuu na hakuna wagonjwa wapya!.
P
Ndio maana sasa mpaka mataifa ya nje wameanza kutuhurumia, tunakuwa treated kama kuku ndani ya nchi yetu, tunadanganywa kama watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1432998
View attachment 1432999

My Take
Serikali inawajibika kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili. Ni kweli hakuna maambukizi mapya wala vifo vipya? Serikali iseme ukweli wa Mungu-msema kweli mpenzi wa Mungu.

Zipo tetesi zinaendelea kila dakika kuhusu maambukizi mapya hususani Dar es Salaam na vifo kadhaa kuhusishwa na "changamoto ya kukosa pumzi". Lakini hatujasikia waziri akitolea ufafanuzi juu ya jambo hili.
Hayo ndio majibu kutoka chato. Nahakuna jasiri wakumwambia ukweli ndani ya chama wala nje hata baba yupo tanga kajifungia.
 
Back
Top Bottom