Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Wakuu naomba kuuliza hivi unaweza kuapply mkopo kwa kutumia simu ya mkonon au mpaka uende kweny laptop ??? Samahani naomba msaada maana nimechelewa harafu hela sina kama inawezakana ni apply tu hata kwa simuu